AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Ramaphosa amechaguliwa kuwa mwenyekiti wa chama tawala nchini Afrika Kusini ANC leo baada ya kufanyika uchaguzi.
Makamu huyo wa rais aliyeibuka mshindi alikuwa na upinzani mkali na waziri wa zamani Nkosazana Dlamini-Zuma, mke wa zamani wa Zuma.
Kulikuwa na mvutano, hisia zikipanda, wajumbe wakipiga kelele kupinga taratibu za upigaji wa kura.
Uwaniaji madaraka umeleta mvutano wa kisiasa nchini humo hali inayoleta hofu kuwa ANC inaweza kugawanyika kabla ya uchaguzi wa 2019.
Ramaphosa ameibuka mshindi kwa kupata kura 2,440 huku mpinzani wake Dlamini-Zuma akipata kura 2,261
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK