Mvulana wa Miaka 13 Amuua Mama Make na Kumkata Kichwa

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

Mvulana wa Miaka 13 Amuua Mama Make na Kumkata Kichwa
Mvulana wa miaka 13 huko China amekamatwa kufuatia madai kuwa alimuua mama yake na kisha kumkata kichwa.
Mvulana huyo kisha akachukua video ya mauaji hayo na kuwatumia marafiki kupitia mtandao wa kijamii wa WeChat.
Alikamatwa siku kadhaa baadaye, baada ya rafiki yake mmoja kumuonyesha mama yake video hiyo.
Kisa hicho kilitokea katika mji wa Wenxing kwenye mkoa wa Sichuan.
Polisi walithibisha kisa hicho kwa BBC lakini hawakutoa taarifa zaidi wakisema kuwa bado kinachunguzwa.
Mvulana huyo alimuua mama yake baada ya kugombana siku ya Jumapili, iliripoti Radio Free Asia.
Kisha akamkata kichwa na kukiweka kwenye mfuko kabla ya kukitupa, kwa mujibu wa ripoti.
Mvulana huyo anaripotiwa kukamatwa akiwa shuleni
----

Love Story ya NJIA PANDA,Ni Kali mnoo Jamani.

Kusikiliza au kusoma mwendelezo wake Tembelea www.makapedia.com kisha bofya palipoandikwa NJIA PANDA kila siku saa moja kamili jioni BURE au bofya HAPA

Pia Bofya HAPA kujiunga na what's app channel yetu,tukukumbushe kila siku.


-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Tags

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad