AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Muimbaji huyo anayetamba na ngoma ‘Papa’ ameimbia E-Newz ya EATV kuwa licha ya mabaya yake kupelekea kujulikana ila watu wamempenda kutokana na mema anayofanya.
“Mabaya mengi yamefanya nimejulikana ila kupendwa kwangu siyo kwa mabaya bali mema yangu ndio maana watu wananipenda”
amesema Gigy Money.
Pia ameongeza kuwa watu wampende Gigy Money kwa mema yake na mazuri ila mabaya wamuachie kwa sababu hata yeye anajaribu kuyapotezea.
Love Story ya NJIA PANDA,Ni Kali mnoo Jamani.
Kusikiliza au kusoma mwendelezo wake Tembelea www.makapedia.com kisha bofya palipoandikwa NJIA PANDA kila siku saa moja kamili jioni BURE au bofya HAPA
Pia Bofya HAPA kujiunga na what's app channel yetu,tukukumbushe kila siku.
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK