AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Video ya wimbo "I Have Issues" wa mwanamuziki h uyo ulitoka mwezi uliopita na kuzusha sintofahamu kwa madai kuwa umejaa vipande vinavyopingana na maadili na utamaduni wa nchi hiyo.
Shyma mwenye umri wa miaka 21 anaonekana katika video hiyo akiwa amevalia sidiria huku akila ndizi na kundi la wanaume likimshangaa.
Mwongozaji wa video hiyo Mohamed Gamal ametakiwa kulipa faini ya dola za Marekani 560 ambazo ni wastani wa Sh1.2 milioni.
Siku moja kabla ya kuhukumiwa kifungo Shyma aliwaomba radhi mashabiki wake kupitia mtandao wa Facebook akisema hakutegemea video hiyo ingetafsiriwa vibaya kutokana na kile kinachoonekana.
Love Story ya NJIA PANDA,Ni Kali mnoo Jamani.
Kusikiliza au kusoma mwendelezo wake Tembelea www.makapedia.com kisha bofya palipoandikwa NJIA PANDA kila siku saa moja kamili jioni BURE au bofya HAPA
Pia Bofya HAPA kujiunga na what's app channel yetu,tukukumbushe kila siku.
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK