Nipo Single na Hata Nikiwa Kwenye Mahusiano Siwezi Kuyaanika- Mimi Mars

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

Nipo Single na Hata Nikiwa Kwenye Mahusiano Siwezi Kuyaanika- Mimi Mars
Muimbaji wa ‘Sitamani’ Marianne Mdee aka Mimi Mars amedai kuwa yupo single. Kwenye mahojiano na Dizzim Online, mrembo huyo amedai kuwa hata kama siku akiwa kwenye uhusiano hawezi kuyaanika sababu si mtu wa aina hiyo.

“Right now personally I am single lakini hata nikipata mtu huko mbeleni nitakuwa hivyo hivyo jinsi ambavyo hawajui na hawatojua,” alisema Mimi Mars.

Pia Mimi Mars amedai kuwa kamwe hamwezi kuwa na uhusiano na mtu maarufu. Anapenda kuwa na mwanaume Mcha Mungu, mpiganaji na anayejielewa.




----

Love Story ya NJIA PANDA,Ni Kali mnoo Jamani.

Kusikiliza au kusoma mwendelezo wake Tembelea www.makapedia.com kisha bofya palipoandikwa NJIA PANDA kila siku saa moja kamili jioni BURE au bofya HAPA

Pia Bofya HAPA kujiunga na what's app channel yetu,tukukumbushe kila siku.


-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Tags

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad