AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Akiongea mbele ya camera ya eNEWZ Petit ametaja sababu kubwa ya kujitoa katika kundi hilo ni kuwa ameamua kuijitegemea na kuaanzisha lebo yake mwenyewe inayojulikana kama "Roof Top" licha ya watu kusema kuwa yeye na Billnass wameachana kwa uhasama mkubwa.
"Ni kweli mimi simsimamii tena Billnass lakini tuko poa na hakijaharibika chochote wala hatuna ugomvi na yeye pamoja na Mchafu. Ni mfumo wa kazi tu umebadilika na hakuna chochote kibaya na maskani pale bado ninaenda kama kawaida. Nina kampuni ambayo naimiliki mimi na mtu mwingine anayeitwa John Tojo. Kwa hiyo "Roof Top" nimeingia nao 'share',"
Hata hivyyo Petit amesema kuwa bado ataendelea kumsapati Billnass kwa kuwa walikuwa ni washkaji toka zamani kabla hata hajaanza kumsimamia.
Love Story ya NJIA PANDA,Ni Kali mnoo Jamani.
Kusikiliza au kusoma mwendelezo wake Tembelea www.makapedia.com kisha bofya palipoandikwa NJIA PANDA kila siku saa moja kamili jioni BURE au bofya HAPA
Pia Bofya HAPA kujiunga na what's app channel yetu,tukukumbushe kila siku.
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK