AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Upinzani nchini Kenya umetangaza kughairisha shughuli ya kumuapisha Kiongozi wao Raila Odinga kuwa Rais wa Jamhuri ya Kenya tarehe 12 Desemba
-
Tarehe mpya ya kuapishwa Odinga pamoja na uzinduzi wa Bunge la Wananchi itatangazwa baadae
-
Hivi karibuni, Mwanasheria Mkuu wa Serikali nchini Kenya alitahadharisha uamuzi wa NASA kutaka kumuapisha Bw. Odinga kinyume na utaratibu na kusema endapo watafanya hivyo, watashitakiwa kwa kosa la uhaini. - #regrann
Love Story ya NJIA PANDA,Ni Kali mnoo Jamani.
Kusikiliza au kusoma mwendelezo wake Tembelea www.makapedia.com kisha bofya palipoandikwa NJIA PANDA kila siku saa moja kamili jioni BURE au bofya HAPA
Pia Bofya HAPA kujiunga na what's app channel yetu,tukukumbushe kila siku.
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK