AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Msemaji wa Rais, Bongani Ngqulunga amesema Mnangagwa leo Alhamisi Desemba 21,2017 atamtembelea Rais Jacob Zuma mjini Pretoria.
Viongozi hao wawili watazungumzia masuala muhimu ya maendeleo ya kikanda, Bara la Afrika na kimataifa.
Kwa mujibu wa ubalozi wa Zimbabwe nchini Afrika Kusini, Rais Mnangagwa anatarajiwa kutumia fursa hiyo kuvutia uwekezaji kutoka nchi hiyo jirani.
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK