Ruby Afunguka Mikakati Yake kwa Mwaka 2018

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

Ruby Afunguka Mikakati Yake kwa Mwaka 2018
BAADA ya kukaa kimya kwa muda mrefu, sexy lady kunako Bongo Fleva, Hellen George ‘Ruby’ amefunguka kuwa, katika mwaka ujao wa 2018 amejipanga kupambana katika gemu.

Ruby alisema kuwa, alikuwa kimya kwa sababu ya kujipanga na mwakani ndiyo ataanza rasmi mapambano ya kimuziki.

“Sijatoa ngoma kwa muda mrefu, lakini mwakani (2018) mashabiki wangu wategemee mambo mazuri sana, kwani ndiyo rasmi nitajikita kwenye gemu maana nilikuwa ninajipanga,” alisema.
----

Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu

Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:



 

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Tags

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad