AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Mchezo huo uliopigwa kwenye uwanja wa Taifa timu ya bunge la Tanzania ilijipatia goli hilo katika kipindi cha pili huku timu ya bunge la Kenya ikijitahidi kupeleka mashambulizi lakini ikashindwa kurudisha goli hilo.
Katika mechi hiyo ambayo ilikua na upinzani mkali timu ya bunge ya Tanzania iliweza kutawala mchezo kwa kipindi cha kwanza lakini walishindwa kupata goli huku kipindi cha pili wakionekana Kufanya hivyo ndipo walipata goli hilo la kuongoza hivyo hadi mwisho wa mchezo Timu ya Bunge ya Tanzania ikaibuka kidedea katika mchezo huo.
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK