Ujumbe wa RC Makonda kwa Wema Sepetu "Karibu Nyumbani "

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

Ujumbe wa RC Makonda kwa Wema Sepetu "Karibu Nyumbani"
Baada ya Wema Sepetu kutangaza kurudi Chama cha Mapinduzi (CCM) akitokea Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), kuanzia mwishoni mwa weekend iliyopita ameonekana akiwa katika picha tofauti tofauti na Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Mhe. Paul Makonda.

Sasa leo RC Makonda ameandika ujumbe kwa kwenye moja ya picha walizopiga pamoja. Kupitia ukurasa wake wa Instagram RC Makonda ameeleza kuwa Wema amechagua fungu jema katika maamuzi aliyofanya.

Serikali ni sawa na Mzazi ambaye siku zote huwaza mema kwa watu wake. Umechagua fungu jema karibu nyumbani tujenge Nchi imara na wala siyo upinzani imara kwani Nchi kwanza vyama baadae

Kabla ya RC Makonda, Wema naye aliandika; “I never knew you well until I hated you, & now that I met you, I thank God to have Found you… Every Dark Cloud possesses a Silver Lining”.

February 24 mwaka huu Wema alijiunga na Chadema akitokea CCM na December Mosi akatangaza kurejea CCM.
-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Tags

Post a Comment

2 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.
  1. HATA TUKIGOMBANA WASIONEE, WASHIKE JEMBE WAKALIMEE - a true message By Dogo Aslay

    ReplyDelete

Top Post Ad