AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Sasa leo RC Makonda ameandika ujumbe kwa kwenye moja ya picha walizopiga pamoja. Kupitia ukurasa wake wa Instagram RC Makonda ameeleza kuwa Wema amechagua fungu jema katika maamuzi aliyofanya.
Serikali ni sawa na Mzazi ambaye siku zote huwaza mema kwa watu wake. Umechagua fungu jema karibu nyumbani tujenge Nchi imara na wala siyo upinzani imara kwani Nchi kwanza vyama baadae
Kabla ya RC Makonda, Wema naye aliandika; “I never knew you well until I hated you, & now that I met you, I thank God to have Found you… Every Dark Cloud possesses a Silver Lining”.
February 24 mwaka huu Wema alijiunga na Chadema akitokea CCM na December Mosi akatangaza kurejea CCM.
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK
HATA TUKIGOMBANA WASIONEE, WASHIKE JEMBE WAKALIMEE - a true message By Dogo Aslay
ReplyDeleteWanawake live
ReplyDelete