AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Inadaiwa kuwa mwariadha huyo alikuwa kwenye vita vya kupigania simu kwa mujibu wa msemaji wa idara ya mahakama.
Pistorius ambaye amefungwa miaka 13 na miezi mitano aliripotiwa kupata jeraha.
.
Inaripotiwa kuwa alikuwa kwenye majibizano na mfungwa mwingine kuhusu kuitumia simu ya umma katika kituo ambapo wafungwa hao wote wamefungwa.
Idara ya mahakama imeanzisha uchunguzi kujua ukweli na kuchukua hatua zinazohitajika.
Pistorius alipatikana na hatia ya kumuua bila kukusudia, baada ya kudai kuwa alimpinga risasi Bi Steenkanp akidhani kuwa ni jambazi mapema siku ya wapendanao mwaka 2013.
Lakini mahakama ya rufaa ilibatilishwa uamuzi huo mwaka 2015 na kumpata na hatia ya kuua.
Pistorius alikatwa miguu yake yote miwili akiwa mtoto.
Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu
Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK