Oscar Pistorius Ajeruhiwa Akipigana Gerezani

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

Oscar Pistorius Ajeruhiwa Akipigana Gerezani
Aliyekuwa mwanariadha mlemavu raia wa Afrika Kusini Oscar Pistorius amejeruhiwa kwenye mzozo wa gerezani, chini ya wiki mbili baada ya kifungo cha kwa kumuua mpenzi wake Reeva Steenkamp kuongezwa zaidi ya mara mbili.
Inadaiwa kuwa mwariadha huyo alikuwa kwenye vita vya kupigania simu kwa mujibu wa msemaji wa idara ya mahakama.
Pistorius ambaye amefungwa miaka 13 na miezi mitano aliripotiwa kupata jeraha.
.
Inaripotiwa kuwa alikuwa kwenye majibizano na mfungwa mwingine kuhusu kuitumia simu ya umma katika kituo ambapo wafungwa hao wote wamefungwa.

Idara ya mahakama imeanzisha uchunguzi kujua ukweli na kuchukua hatua zinazohitajika.

Pistorius alipatikana na hatia ya kumuua bila kukusudia, baada ya kudai kuwa alimpinga risasi Bi Steenkanp akidhani kuwa ni jambazi mapema siku ya wapendanao mwaka 2013.
Lakini mahakama ya rufaa ilibatilishwa uamuzi huo mwaka 2015 na kumpata na hatia ya kuua.
Pistorius alikatwa miguu yake yote miwili akiwa mtoto.
----

Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu

Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:



 

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad