Wapandishwa Mahakamani Baada ya Kukata Mkono wa Albino na Kukimbia Nao

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

Wapandishwa Mahakamani Baada ya Kukata Mkono wa Albino na Kukimbia Nao
Watu tisa wamefikishwa katika mahakama ya hakimu mkazi mkoa wa Morogoro wakikabiliwa na shitaka la kumkata mkono albino, Nassoro Mohamed kisha kutoweka na mkono huo.

Washtakiwa hao Anthon Fabian, Jeremia Silwimba, Benard Kifyasi, Joseph Mpeka, Godfrey George, Selemani Mililo, Hassan Zimu, John Fabian na Emanuel Simkonda wote wakazi wa Kijiji cha Nyarutanga Kisaki Wilaya ya Morogoro.

Mbele ya Hakimu, Agripina Kimaze wakili wa serikali Twide Mangula ameeleza kuwa washtakiwa hao kwa pamoja walitenda kosa hilo Oktoba 3 mwaka huu katika Kijiji cha Nyarutanga Kisaki Wilaya ya Morogoro na mara baada ya kutenda kosa hilo walikimbia.

Hata hivyo, washtakiwa hao hawakutakiwa kujibu chochote kutokana na mahakama hiyo kukosa mamlaka ya kisheria ya kusikiliza kesi hiyo.
----

Love Story ya NJIA PANDA,Ni Kali mnoo Jamani.

Kusikiliza au kusoma mwendelezo wake Tembelea www.makapedia.com kisha bofya palipoandikwa NJIA PANDA kila siku saa moja kamili jioni BURE au bofya HAPA

Pia Bofya HAPA kujiunga na what's app channel yetu,tukukumbushe kila siku.


-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Tags

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad