AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Kupitia 5Selekt ya EATV Amber Lulu amesema kwamba baada ya kuingia kwenye muziki aliamua kufuta picha zote ambazo hazikuwa zikimtambulisha kama msanii.
"Mimi nimeshatoka kwenye lile kundi. Sikutajwa kwasababu watu wameshanitoa kabisa kwenye Amber yule na wanamjua huyu wa sasa ambaye anaimba. Hata kwenye mitandao yangu ya kijamii ukipitia hutakutana na picha za miaka ile" Amber Lulu.
Amber Lulu aliingia rasmi kwenye sanaa ya muziki mwishoni mwa 2016, akiachana na sanaa ya upendezeshaji wa nyimbo za wasanii 'Video Vixen'.
Hivi karibuni Msanii wa karibu na Amber Lulu aliitwa na Naibu Waziri Shonza kwenda ofisini kwake kutokana na kuvunja maadili kwa kupiga picha za utupu na kuziweka katika mitandao yake ya kijamii.
Love Story ya NJIA PANDA,Ni Kali mnoo Jamani.
Kusikiliza au kusoma mwendelezo wake Tembelea www.makapedia.com kisha bofya palipoandikwa NJIA PANDA kila siku saa moja kamili jioni BURE au bofya HAPA
Pia Bofya HAPA kujiunga na what's app channel yetu,tukukumbushe kila siku.
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK