Aunt Ezekieli: Hama Kweli January ni Mwezi Mgumu

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

Wakati watu wengi wakilalamika kuhusu mwezi January na kudai ya kwamba ni mgumu kutokana na majukumu mengi ya mwezi huu, sasa Aunty Ezekiel amezungumza kuhusu mwezi January yeye amesema alikuwa haamini kama January ni ngumu lakini saivi amekubali kuwa mwezi mgumu.

Aunty Ezekiel amesema kwamba yeye hajawahi kukopa kodi ya nyumba wala kitu cha msingi kwenye maisha na ndo mana huwaga anapanga bajeti mapema ya vitu muhimu kama kodi ya nyumba, Ada ya mtoto wake na kitu alichowahi kukopa ni nguo.
----

Love Story ya NJIA PANDA,Ni Kali mnoo Jamani.

Kusikiliza au kusoma mwendelezo wake Tembelea www.makapedia.com kisha bofya palipoandikwa NJIA PANDA kila siku saa moja kamili jioni BURE au bofya HAPA

Pia Bofya HAPA kujiunga na what's app channel yetu,tukukumbushe kila siku.


-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad