AZAM FC Wachukua Kombe la Mapinduzi....Waichapa URA ya Uganda

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

Mabingwa watetezi wa michuano ya Kombe la Mapinduzi Azam FC Usiku wa January 13 2017 walikuwa Zanzibar katika uwanja wa Amaan kutetea taji lao la Mapinduzi Cup kwa kucheza dhidi ya URA ya Uganda.

Azam FC wakiongozwa na kocha wao Cioba wamefanikiwa kutetea taji hilo, licha ya kuwa mchezo ulikuwa mgumu na dakika 90 kumalizika kwa sare tasa.

Majibu ya kuamua kati ya Azam FC na URA nani atakuwa Bingwa wa Kombe la Mapinduzi 2018, yalijulikana baada ya dakika 120 kumalizika ndio mikwaju ya penati ikaipa Azam FC ushindi kwa penati 4-3, Azam FC sasa wanafanikiwa kutetea taji lao walilotwaa 2017 kwa kuifunga Simba goli 1-0.
----

Love Story ya NJIA PANDA,Ni Kali mnoo Jamani.

Kusikiliza au kusoma mwendelezo wake Tembelea www.makapedia.com kisha bofya palipoandikwa NJIA PANDA kila siku saa moja kamili jioni BURE au bofya HAPA

Pia Bofya HAPA kujiunga na what's app channel yetu,tukukumbushe kila siku.


-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Tags

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad