AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Sare ya leo inazifanya timu hizo mbili kutoka sare mara nne katika msimu mmoja wa ligi idadi kama hii ya sare mara ya mwisho ilitokea ilikuwa msimu wa 2002/2003 kati ya Blackburn na Sunderland.
Katika mchezo huo kama kawada kiungo wa klabu ya Arsenal Jack Wilshere aliumia tena haki iliyoleta hofu kwa mashabiki lakini daktari amesema bado wanaendelea kumpima kujua kama atakuwa nje kwa muda au laa.
Mchezo wa leo pia ulimfanya Francis Coquelin kuwa mchezaji anayecheza ndani ya uwanja aliyecheza michezo mingi bila kuifungia Arsenal goli, sasa nusu fainali hiyo ya EFL intarajiwa kwenda kurudiwa Emirates hapo baadaye.
Love Story ya NJIA PANDA,Ni Kali mnoo Jamani.
Kusikiliza au kusoma mwendelezo wake Tembelea www.makapedia.com kisha bofya palipoandikwa NJIA PANDA kila siku saa moja kamili jioni BURE au bofya HAPA
Pia Bofya HAPA kujiunga na what's app channel yetu,tukukumbushe kila siku.
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK