Cilic Atinga Fainali Baada ya Kumchapa Mpinzani Wake Kyle Edmund

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

Cilic Atinga Fainali Baada ya Kumchapa Mpinzani Wake Kyle Edmund
Mcheza tenisi kutoka nchini Croatia, Marin Cilic amefanikiwa kutinga katika hatua ya fainali baada ya kumchapa mpinzani wake Kyle Edmund katika hatua ya nusu fainali.

Cilic amefanikiwa kutinga katika hatua hiyo kwa ushindi wa seti 6-2 7-6 (7-4) 6-2.

Kutokana na ushindi huo, Cilic anaweza kupanda mpaka nafasi ya tatu katika viwango vya ubora wa mchezo huo duniani vitakavyotoka wiki ijayo.

Kwa sasa mchezaji huyo ana subiri kucheza fainali na mshindi wa mchezo kati ya Roger Federer na Hyeon Chung ambao watachuana kesho (Ijumaa).

----

Love Story ya NJIA PANDA,Ni Kali mnoo Jamani.

Kusikiliza au kusoma mwendelezo wake Tembelea www.makapedia.com kisha bofya palipoandikwa NJIA PANDA kila siku saa moja kamili jioni BURE au bofya HAPA

Pia Bofya HAPA kujiunga na what's app channel yetu,tukukumbushe kila siku.


-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Tags

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad