AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Akizungumza na mwandishi wa www.eatv.tv kwa njia ya ujumbe mfupi wa WhatsApp , msemaji wa kundi la Goodlyfe, amesema maombi hayo yanatarajiwa kufanyika Jumapili ya Januari4, katika kanisa la Light the World.
“Maombi yameandaliwa kufanyika kwenye kanisa la Light the World lililopo Nansana, ambalo linaongozwa na Wilson Bugembe, kwa ajili ya kumuombea kaka yetu Radio, na wote wanakaribishwa kuhudhuria”, amesema msemaji huyo.
Radio alikimbizwa hospitali wiki iliyopita baada ya kupata comma kutokana na kupigwa vibaya sehemu ya kichwani kwenye ugomvi, akitokea kwenye hoteli moja nchini Uganda, na mpaka sasa bado anaendelea kupigania maisha yake, ambapo hapo jana amefanyiwa upasuaji kwa mara ya pili.
Love Story ya NJIA PANDA,Ni Kali mnoo Jamani.
Kusikiliza au kusoma mwendelezo wake Tembelea www.makapedia.com kisha bofya palipoandikwa NJIA PANDA kila siku saa moja kamili jioni BURE au bofya HAPA
Pia Bofya HAPA kujiunga na what's app channel yetu,tukukumbushe kila siku.
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK