AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Akizungumza na wanahabari leo Januari 16, 2017 jijini Dar es Salaam, Kamanda wa Polisi Kanda Maalumya Dar, Lazaro Mambosasa amemsema mtuhumiwa huyo alikamatwa hivi karibuni mkoani Iringa.
“Mtuhumiwa huyo tayari tumeshamkamata na baada ya kumhoji alikiri kufanya tukio hilo na kusema chanzo alikuwa mtoto. Amedai mkewe huyo alimtilia mashaka kwa kuingia kwenye mahusiano na mwanammme mwingine, anadai mke huyo alimzalia mtoto nje ya ndoa, hivyo akaamua kumnyonga mtoto na kufanya mauaji mengine mliyoyasikia,” alisema Mambosasa.
Aidha, Kamanda Mambosasa amesema kwa sasa wanafanya taratibu za kumsafirisha mtuhumiwa huyo kutoka Iringa hadi Dar ili kufikishwa mahakamani.
Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu
Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK
sasa si angemuacha tu ona sasa ameharibu maisha yake ...
ReplyDelete