Watu Walijua ni Utani Sasa Waelewe Hata Kicheche Anaolewa- Shilole

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

Watu Walijua ni Utani Sasa Waelewe Hata Kicheche Anaolewa- Shilole
MSANII wa muziki wa mduara, Zuwena Mohammed maarufu kwa jina la Shilole ametoa kauli ngumu wakati wa sherehe yake iliyofanyika usiku wa kuamkia jana Jumatatu, akisema watu wengi walikuwa wakidhani kwamba hamaanishi kuhusu kufunga ndoa na mpenzi wake Uchebe na kuwataka sasa waamini uamuzi wake huo.

“Namshukuru Mungu nimepata mume anayeijua dini, amenifichia aibu yangu. Watu wasidhani kila jambo ni utani, mimi nilikuwa namaanisha. Sasa waelewe kwamba hata ‘kicheche’ huwa anaolewa, wasichukulie maisha yangu niliyokuwa ninaishi, kwa sasa nimepata mume na ninampenda sana,” alisema Shilole.
----

Love Story ya NJIA PANDA,Ni Kali mnoo Jamani.

Kusikiliza au kusoma mwendelezo wake Tembelea www.makapedia.com kisha bofya palipoandikwa NJIA PANDA kila siku saa moja kamili jioni BURE au bofya HAPA

Pia Bofya HAPA kujiunga na what's app channel yetu,tukukumbushe kila siku.


-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Tags

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad