Katika Muziki Ushirikina Upo – Man Fongo

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

Katika Muziki Ushirikina Upo – Man Fongo
Msanii wa muziki wa Singeli, Man Fongo amefunguka tetesi za kufanyiwa ushirikina katika muziki wake ili asifanye vizuri.

Muimbaji huyo ameiambia Times Fm kuwa hawezi kujua hilo moja kwa moja kwa sababu yeye ndiye msanii mkubwa kuliko wote katika muziki huo ila ushirikina ni kitu ambacho kipo katika muziki.

“Katika muziki mambo ya ushirikina yapo lakini huwezi ukamshawishi mtu ukasema mtu fulani hamna ila vitu vinatokea, hivyo ushirikina upo,” amesema.

Ameongeza kuwa licha ya hayo yote hakuna anayeweza kushusha nyota yake kimuziki kwa sasa. Man Fongo kwa sasa anafanya vizuri na ngoma yake mpya ‘La Nafasi
-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Tags

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad