AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Muimbaji huyo ameiambia Times Fm kuwa hawezi kujua hilo moja kwa moja kwa sababu yeye ndiye msanii mkubwa kuliko wote katika muziki huo ila ushirikina ni kitu ambacho kipo katika muziki.
“Katika muziki mambo ya ushirikina yapo lakini huwezi ukamshawishi mtu ukasema mtu fulani hamna ila vitu vinatokea, hivyo ushirikina upo,” amesema.
Ameongeza kuwa licha ya hayo yote hakuna anayeweza kushusha nyota yake kimuziki kwa sasa. Man Fongo kwa sasa anafanya vizuri na ngoma yake mpya ‘La Nafasi
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK