Korea Kaskazini Yafungua Mawasiliano ya Simu na Korea Kusini

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

Korea Kaskazini Yafungua Mawasiliano ya Simu na Korea Kusini
Korea Kaskazini imefungua tena mawasiliano ya simu na Korea Kusini ili kuanzisha mazungumzo kuhusu kushiriki kwake katika mashindano ya msimu wa baridi.

Korea Kusini imethibitisha kuwa ilipata simu kutoka Kaskazini leo Jumatano.

Trump: Kibonyezo changu cha nyuklia kina nguvu kuliko cha Kim
Hii ni baada ya Kim Jong un kusema kuwa ataanzisha mazungumzo na Korea Kusini kuhusu kutumwa timu kwa mashindano ya msimu wa baridi huko Korea Kusini.

Mataifa hayo mawili hayajafanya mazungumzo ya juu tangu Disemba mwaka 2015

The North-South Korea hotline in the village of PanmunjomHaki miliki ya pichaEPA
Image caption
Korea Kaskazini yafungua mawasiliano ya simu na Korea Kusini
Mwaka uliofuatia Korea Kaskazini ilikata mawasiliano na kuacha kupokea simu kwa mujibu wa maafisa kutoka Kusini

Afisa kutoka Korea Kaskazini alitangaza kufunguliwa laini hiyo ya simu kwenye ujumbe uliopeperushwa mapema Jumatano.

Kim Jong-un: Kibonyezo cha silaha za nyuklia kiko kwenye meza yangu
Mkuu wa idara ya mawasiliano ya raia wa Korea Kusini Moon Jae-in, alisema kuwa kufunguliwa kwa laoni hiyo ya simu kuna umuhimu mkubwa

"Inabuni mazingira ambapo mawasiliano yatakuwa rahisi kila mara," alisema.
-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad