AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Akizungumza na Star Mix, mtoa ubuyu ambaye yupo karibu na bibie huyo alisema, japo kipindi cha nyuma aligoma kumzalia mzungu wake kwa madai kuwa bado anasoma sababu alijiunga na kozi mbalimbali, kwa sasa familia imemjia juu ikimtaka azae.
Baada ya kuunyaka ubuyu huo, Lucy anayeishi nchini Denmark na mumewe alivutiwa waya, alipopatikana alisema: “Mambo mengine ni ya kifamilia siwezi kuyaongelea, lakini kifupi tu ni kwamba sasa nipo kwenye mkakati wa kumpatia mtoto mume wangu.
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK