Maalim Seif Amtembelea Kingunge Hospitali Kumjulia Hali

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

Maalim Seif Amtembelea Kingunge Hospitali Kumjulia Hali
January 18, 2018 Katibu Mkuu wa CUF, Maalim Seif Sharif Hamad amemtembelea Mwanasiasa mkongwe nchini Kingunge Ngombale Mwiru aliyelazwa katika wodi ya Mwaisela, hospitali ya Taifa ya Muhimbili.

Maalim Seif amempa pole ya msiba wa mke wake Peras Kingunge, namnukuu Maalim “Tuwe na subira na msiba uliotufika, najua imekuumiza zaid wewe ila ndo ubinadamu sote tunaenda hukohuko, mama katangulia na sisi tunafuata,”

Mzee Kingunge aliruhusiwa kutoka hospitalini hapo Januari 10 ili kwenda kushiriki mazishi ya mkewe, Peras Ngombare Mwiru yaliyofanyika Alhamisi katika makaburi ya Kinondoni jijini Dar es salam.

Mzee Kingunge alilazwa hospitalini hapo baada ya kushambuliwa na mbwa nyumbani kwake eneo la Victoria jijini Dar es salam hivi karibuni.
----

Love Story ya NJIA PANDA,Ni Kali mnoo Jamani.

Kusikiliza au kusoma mwendelezo wake Tembelea www.makapedia.com kisha bofya palipoandikwa NJIA PANDA kila siku saa moja kamili jioni BURE au bofya HAPA

Pia Bofya HAPA kujiunga na what's app channel yetu,tukukumbushe kila siku.


-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad