Mama Diamond Ampost Wema Aandika Ujumbe Huu "Nyinyi Ongeeni Chambaneni Sisi Tunapiga Pesa"

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

Mama Diamond Ampost Wema Aandika Ujumbe Huu "Nyinyi Ongeeni Chambaneni Sisi Tunapiga Pesa"
Maneno yamekuwa mengi baada ya Wema Sepetu kupanda kwenye stage na kumuita Diamond Platnumz wakiwa Maisha Basement na wengi  kujiuliza kuhusu ukaribu wao tokea wakiwa Hyatt Regency katika utambulisho rasmi wa msanii Marombosso katika record label ya WCB.

Mama Diamond akaamua kupost instagram sehemu ya video clip Wema akiwa kwenye stage na kuandika “KWA HERUFI KUBWA NYIE ONGEENI CHAMBANENI CC TUNAPIGA PESA”
----

Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu

Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:



 

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad