AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Taarifa ya TMA imebainisha mikoa itakayokubwa na mvua hizo ni Pwani ya Kusini ambayo ni Lindi na Mtwara, Nyanda za Juu Kusini Magharibi ambayo ni Mbeya, Iringa, Songwe na Rukwa, Dar es Salaam na Pwani.
“Upepo wa Pwani, unatarajiwa kuvuma kutoka Kaskazini; kwa kasi ya Km 30 kwa saa kwa Pwani ya Kaskazini na kwa kasi ya km 20 kwa saa kwa Pwani ya Kusini,” imeeleza taarifa hiyo na kuongeza;
“Hali ya Bahari, inatarajiwa kuwa mawimbi madogo hadi makubwa kiasi na matazamio kwa siku ya Ijumaa Januari 5,2018, kuongezeka kwa mvua katika mwambao wa Pwani na maeneo ya Nyanda za Juu Kusini Magharibi.”
Hata hivyo, tayari mvua hizo zimekwisha kuanza na mikoa ya Dar es Salaam na Pwani mvua ilinyesha jana Jumatano usiku katika maeneo mbalimbali ya mikoa hiyo.
Love Story ya NJIA PANDA,Ni Kali mnoo Jamani.
Kusikiliza au kusoma mwendelezo wake Tembelea www.makapedia.com kisha bofya palipoandikwa NJIA PANDA kila siku saa moja kamili jioni BURE au bofya HAPA
Pia Bofya HAPA kujiunga na what's app channel yetu,tukukumbushe kila siku.
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK