AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Man Fongo amebainisha hayo baada ya kusakamwa takribani wiki moja sasa kwa kudaiwa kutumia kazi ya wasanii wenzake bila ya makubaliano ya aina yoyote waliyowekeana.
"Ni kweli nimepigiwa simu na watoto wa Baraka Mwishee wakitaka kufuatilia hati miliki ya ule muziki. Kwa hiyo hata kama kuna mtu mwingine anaona mimi nimemuibia muziki wake asiogope kufuatilia hati miliki kwa sababu huu muziki wetu tunausajili BASATA. So ukiwa unaongea ongea mimi najua ni 'blah blah' tu hizo wanaotafuta kiki kutoka kupitia mgongo wangu", alisema Man Fongo pindi alipohojiwa katika kipindi cha eNewz kutoka EATV.
Love Story ya NJIA PANDA,Ni Kali mnoo Jamani.
Kusikiliza au kusoma mwendelezo wake Tembelea www.makapedia.com kisha bofya palipoandikwa NJIA PANDA kila siku saa moja kamili jioni BURE au bofya HAPA
Pia Bofya HAPA kujiunga na what's app channel yetu,tukukumbushe kila siku.
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK