AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Akizungumza na waandishi wa habari nyumbani kwake Sinza jijini Dar es salaam, Mheshimiwa Mrema amesema yeye ni mzima wa afya na hata ugonjwa amabo ulikuwa ukimsumbua kwa miaka mingi ameshapona.
“Afya yangu ni njema ni kweli nilikuwa mgonjwa tangu mwaka 2015, wakati wa kampeni na wakawa wanasema msimchague Mrema ni mgonjwa ni marehemu Mtarajiwa, ila tangu Magufuli kushika urais wake aliahidi serikali itasimamia matibabu yangu, nikapelekwa India na ile kansa iliyokuwa inanisumbua imepona kabisa”, amesema Lyatonga Mrema.
Mrema ameendelea kwa kusema kwamba...”kwa kweli naona mambo yangu ni mazuri hata sura inang'aa, ngozi ile iliyokunjamana haipo tena. Leo asubuhi nimepata taarifa kuwa kuna kikundi kile kile cha 2015 wanataka nife, wanahisi naelekea tena Vunjo kuchukua lile jimbo, lakini nataka kuwaambia mimi sio mgonjwa kansa nimepona, hajafa mtu hapa”, amesema Lyatonga Mrema.
Leo asubuhi kulikuwa na taarifa kuwa mwanasiasa hyo amefariki dunia, kitendo ambachosio mara ya kwanza kutokea kwa kiongozi huyo, ambaye sasa anashikilia wadhifa wa Mwenyekiti wa Bodi ya Parole nchini.
Love Story ya NJIA PANDA,Ni Kali mnoo Jamani.
Kusikiliza au kusoma mwendelezo wake Tembelea www.makapedia.com kisha bofya palipoandikwa NJIA PANDA kila siku saa moja kamili jioni BURE au bofya HAPA
Pia Bofya HAPA kujiunga na what's app channel yetu,tukukumbushe kila siku.
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK