AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Mbunge wa Geita Vijijini Joseph Musukuma baada ya kumaliza kampeni za kumnadi Mgombea Ubunge Jimbo la Songea Mjini Dr. Damas Ndumbaro, January 13, 2018 alipita mkoani Iringa ambapo aliungana na Mbunge Viti Maalumu Iringa Ritha Kabati na kukabidhi msaada kwa watu wenye ulemavu wa ngozi.
Moja ya kitu ambacho Musukuma alikiongea mkoani Iringa ni kuhusu muonekanao na hali za wakazi wa Iringa akifananisha na watu katika Jimbo lake la Geita Vijijini.
Musukuma amesema “Nimeiona Manispaa ya Iringa, nilidhani ni kama Ulaya kumbe ni kama Geita, nashangaa hata Halmashauri yenyewe imechoka, nikamkumbuka sana Msigwa, haya mambo uliyoyafanya yalitakiwa yafanywe na Msigwa,”– Musukuma
Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu
Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK