AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Ilipofika asubuhi wenyeji wa nyumba hiyo walikuta mwizi huyo amelala kwenye kochi lao na vitu alivyotaka kuiba vikiwa tayari vimefungashwa na ndipo walipotaarifu polisi kuhusu tukio hilo.
Taarifa ya polisi ilieleza kuwa mwanaume huyo wa miaka 40 aliingia kwenye nyumba hiyo usiku akitaka kuiba na kueleza kuwa inawezekana alikuwa ametumia dawa za kulevya jambo lililomfanya ashindwe kutoka badala yake alale usingizi kwenye kochi hilo.
Love Story ya NJIA PANDA,Ni Kali mnoo Jamani.
Kusikiliza au kusoma mwendelezo wake Tembelea www.makapedia.com kisha bofya palipoandikwa NJIA PANDA kila siku saa moja kamili jioni BURE au bofya HAPA
Pia Bofya HAPA kujiunga na what's app channel yetu,tukukumbushe kila siku.
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK