AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Siku chache zilizopita, Ruby alionekana akiwa kwenye ‘interview’ ya kituo kimoja cha redio akiimba Wimbo wa Kivuruge ya Nandy, kisha baada ya muda Nandy akaposti kwenye ukurasa wake wa Instagram na kumsifu kwa uimbaji wake, jambo lililozua gumzo na kudhihirisha kuwa sasa hakuna tofauti baina yao.
Kutokana na ishu hiyo, Ruby alipotafutwa simu yake haikuwa hewani, kwa upande wake Nandy alisema; “Nimefurahi mno Ruby kuimba wimbo wangu, anajua, ujue sisi hatujawahi kuwa na bifu hayo yanazushwa na mashabiki, tarajieni kuona makubwa huko mbeleni, sababu tunafanya kazi sehemu moja hata tukiamua kufanya kolabo kama mashabiki wanavyotushauri ni sekunde tu, ila suala hilo siwezi kuliongelea sana kwa sasa
Love Story ya NJIA PANDA,Ni Kali mnoo Jamani.
Kusikiliza au kusoma mwendelezo wake Tembelea www.makapedia.com kisha bofya palipoandikwa NJIA PANDA kila siku saa moja kamili jioni BURE au bofya HAPA
Pia Bofya HAPA kujiunga na what's app channel yetu,tukukumbushe kila siku.
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK