Picha: Hivi Ndivyo Itakavyokuwa Kituo cha Mabasi Dodoma

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

Picha: Hivi Ndivyo Itakavyokuwa Kituo cha Mabasi Dodoma
SERIKALI ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kupitia Wizara ya Ujenzi imejipanga kuanza utekelezaji wa mradi wa ujenzi wa kituo kipya na cha kisasa cha mabasiyaendayo mikoani katika Makao Makuu ya Nchiu, Mjini Dodomna.

Kituo hicho ambacho kinajengwa nje kidogo ya mji, kitakuwa na manufaa makubwa katika kudhibiti msongamano wa magari unaochangiwa na kukua kwa haraka kwa mji.

Aidha, mradi wa Ujenzi wa kituo hicho unatarajiwa kuanza hivi karibuni.

----

Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu

Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:



 

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Tags

Post a Comment

2 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.
  1. Pia huduma ya Mabasi ya mwemdo kasi dodoma tafadhali Itapendeza zaidi

    ReplyDelete
  2. Karibuni Dodoma....!!! na Neema na uzalishaji Ajira uko njiani.

    ReplyDelete

Top Post Ad