AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Muimbaji huyo ambaye anatamba na ngoma yake mpya ‘Lau Nafasi’ ameiambia E-Newz ya EATV kuwa ngoma hiyo ndio ilifungua milango kwa muziki wa singeli hivyo ni vigumu kuishusha.
“Ile Hainaga Ushemeji ni official kutambulisha muziki wa singeli na kuwaelekeza watu kuna muziki unaitwa kisingeli na sitaokuja kutoa ngoma kubwa kama hainaga ushemeji,” amesema Man Fongo.
Ameongeza kuwa kwa sasa wasanii wengine wanapata fedha nyingi kutokana na ngoma hiyo hiyo ku-hit kitu ambacho sasa kushika milioni mbili hadi tatu ni jambo la kawaida.
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK