Man Fongo Akili Hatokuja Kutoa Ngoma Kubwa Kama Hakunaga Ushemeji

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

Man Fongo Akili Hatokuja Kutoa Ngoma Kubwa Kama Hakunaga Ushemeji
Msanii wa muziki wa Singeli Bongo, Man Fongo amesema katika maisha yake ya muziki hatokuja kutoa ngoma kubwa kama Hainaga Ushemeji.

Muimbaji huyo ambaye anatamba na ngoma yake mpya ‘Lau Nafasi’ ameiambia E-Newz ya EATV kuwa ngoma hiyo ndio ilifungua milango kwa muziki wa singeli hivyo ni vigumu kuishusha.

“Ile Hainaga Ushemeji ni official kutambulisha muziki wa singeli na kuwaelekeza watu kuna muziki unaitwa kisingeli na sitaokuja kutoa ngoma kubwa kama hainaga ushemeji,” amesema Man Fongo.

Ameongeza kuwa kwa sasa wasanii wengine wanapata fedha nyingi kutokana na ngoma hiyo hiyo ku-hit kitu ambacho sasa kushika milioni mbili hadi tatu ni jambo la kawaida.
-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Tags

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad