Polepole Awatupia Dongo Upinzani " Ukitukana Tusi Moja Napokonya Kiongozi Mmoja"

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

Polepole Awatupia Dongo Upinzani " Ukitukana Tusi Moja Napokonya Kiongozi Mmoja"
January 4, 2018 Katibu wa Itikadi na Uenezi wa Chama cha Mapinduzi (CCM), Humphrey Polepole amewatahadharisha Chama cha Demokrasia na Maendelo (CHADEMA) ndani ya mkoa wa Dar es salaam kuwa atamng’oa kiongozi mmoja wa chama hicho.

Kupitia ukurasa wake wa Twitter Polepole amesema  baada ya madiwani wawili wa CHADEMA kuachia ngazi Mjini Iringa, ambapo ametoa sababu ya Madiwani hao kuhamia CCM kuwa ni kumuunga mkono President JPM.

“Leo Madiwani wengine wawili wamehama na kujiunga na CCM. Ukiwasikiliza kilichowaondoa ni Uongozi Mbovu na Ubabe pale Iringa. Nasikia wameambiwa “never outshine your master”. Mimi nilidhani “masta” ni wananchi kumbe ni “pasta”. Ukitukana tusi moja Kiongozi mmoja nachomoa DSM ” – Polepole


Humphrey Polepole
@hpolepole
Leo Madiwani wengine wawili wamehama na kujiunga na CCM. Ukiwasikiliza kilichowaondoa ni Uongozi Mbovu na Ubabe pale Iringa Mjini. Nasikia wameambiwa "never outshine your master". Mimi nilidhani "masta" ni wananchi kumbe ni "pasta". Ukitukana tusi moja Kiongozi mmoja nachomoa DSM
-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Tags

Post a Comment

1 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.
  1. Saafi!!
    Tena upokonye wale wanaoelekeaelekea kuwa hai na si hoi kama tunavyowajua majority walivyo huko upinzani!
    UsirudieKosaKupigiaKuraUpinzaniOvyoo!

    ReplyDelete

Top Post Ad