AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Dmitry Titov, raia wa Urusi ambaye alikuwa Naibu Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa ameteuliwa kuongoza uchunguzi wa mazingira yaliyolizunguka shambulizi hilo, kutathimini iwapo kikosi cha wanajeshi wa kulinda amani kilikuwa tayari kujihami dhidi ya mashambulizi na kutoa mapendekezo ya kuepusha mashambulizi zaidi..
Mbali na maafisa wa Umoja wa Mataifa kuhusika katika uchunguzi, maafisa wawili wa kijeshi kutoka Tanzania watajumuishwa katika kundi hilo la uchunguzi. Waasi wa kundi la Allied Democratic Forces ADF wanashukiwa kuhusika na shambulizi hilo.
Love Story ya NJIA PANDA,Ni Kali mnoo Jamani.
Kusikiliza au kusoma mwendelezo wake Tembelea www.makapedia.com kisha bofya palipoandikwa NJIA PANDA kila siku saa moja kamili jioni BURE au bofya HAPA
Pia Bofya HAPA kujiunga na what's app channel yetu,tukukumbushe kila siku.
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK