Tundu Lissu Kushtakiwa Mahakama ya Kimataifa Kutokana na Mahojiano Aliyofanya na BBC

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

Cyprian Musiba ambaye ni mkurugenzi mkuu wa CZ Information & Media Consultant LTD, Kautaarifu umma kupitia wanasheria na mawakili maarufu hapa nchini wanakusudia kumfungulia mashtaka Tundu Lissu mahakamani hapa nchini lakini pia kuna mawakili wengine watakwenda katika mahakama ya kimataifa (The Hague) kupeleka kopi ya mashtaka dhidi ya Tundu Lissu.

Alikuwa akizungumza katika kipindi cha Focus on Africa kinachorushwa na BBC mwandishi aliyemuhoji anaitwa Victor Kenani wiki mbili zilizopita.

"Tundu Lissu alisema Tanzania kwa sasa ni nchi hatarishi kwa siasa pamoja na pamoja na wote wanaohoji utendaji wa Serikali. Akaongeza kusema watu wanauawa hovyo na wanatupwa baharini kwenye viroba. Tunataka atupe uthibitisho wa madai yake hayo ndani ya siku mbili zijazo kuanzia leo".

VIDEO:

----

Love Story ya NJIA PANDA,Ni Kali mnoo Jamani.

Kusikiliza au kusoma mwendelezo wake Tembelea www.makapedia.com kisha bofya palipoandikwa NJIA PANDA kila siku saa moja kamili jioni BURE au bofya HAPA

Pia Bofya HAPA kujiunga na what's app channel yetu,tukukumbushe kila siku.


-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Tags

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad