Utani wa Mpoki Kuhusu Studio Mpya za WCB

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

Mchekeshaji wa kundi la original comedy Mpoki ameamua kufanya utani kuhusiana na headquaters mpya za WCB baada ya kufanya vice versa na kile alichokipost Diamond Platnumz kwa kuonesha nyumba ya udongo katika page yake ya instagram na kusema ni studio za wachafu wakati Diamond alisema ni studio za wasafi.

Mpoki aliandika caption inayosema “tutaonana, hii ndio headquarters ya wachafu fm na tv kama kawa tukutane sehemu ya kuosha magari tutaonana hivi karibuni”
----

Love Story ya NJIA PANDA,Ni Kali mnoo Jamani.

Kusikiliza au kusoma mwendelezo wake Tembelea www.makapedia.com kisha bofya palipoandikwa NJIA PANDA kila siku saa moja kamili jioni BURE au bofya HAPA

Pia Bofya HAPA kujiunga na what's app channel yetu,tukukumbushe kila siku.


-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad