Vijana 1,000 Washtakiwa kwa Kusambaza Picha na Video za Ngono

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

Vijana 1,000 Washtakiwa kwa Kusambaza Picha na Video za Ngono
Zaidi ya vijana 1,000 wameshtakiwa na polisi Denmark kwa kusambaza picha na video za ngono.

Wameshitakiwa kwa kutumia mtandao wa jamii wa Facebook Messenger kusambaza vipande vya video vilivyoonesha vijana wawili wenye miaka 15 wakifanya mapenzi.

Polisi wamesema kwa sababu vijana hao walikuwa wenye umri chini ya miaka 18, mashtaka yawaweza ongezeka hadi kosa la kusambaza picha zisizo ma maadili ya watoto.

Kampuni ya Facebook iiliwataarifu mamlaka wa Marekani ambao wakawatoa taarifa kwa polisi Denmark.

Kama wakipatikana na hatia ya kusambaza picha zisizo na maadili kwa watoto, watawekwa kwenye orodha ya wadhalilishaji ya watoto kingono kwa miaka 10.

Vijana elfu moja na nne wanamashtaka nchi nzima ikiwa ni baada ya kusambaza picha na video kwa kutumia app hiyo ya kutuma ujumbe mwishoni wa mwaka jana.

Baadhi ya watuhumiwa wenye umri juu ya miaka 18 waliitwa katika vituo vya polisi kuhojiwa.

Watuhumiwa chini ya miaka 18 wapatikana kupitia wazazi wao.

Mkuu wa polisi wa Denmark amesema mashitaka hayo yanakuja kama onyo kwa vijana kuthubutu kutuma video za ngono.

Yeyote atakayepatwa na hatia na mashtaka hayo anaweza kupata kifungo cha siku 20.

Kumekuwa na wito kwa serikali ya Denmark kuchukua hatua zaidi kuzuia picha za ngono ili kulipa kisasi.
----

Love Story ya NJIA PANDA,Ni Kali mnoo Jamani.

Kusikiliza au kusoma mwendelezo wake Tembelea www.makapedia.com kisha bofya palipoandikwa NJIA PANDA kila siku saa moja kamili jioni BURE au bofya HAPA

Pia Bofya HAPA kujiunga na what's app channel yetu,tukukumbushe kila siku.


-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Tags

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad