Watu Waliojichubua na Wenye Michirizi Wanyimwa Ajira

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

Watu Waliojichubua na Wenye Michirizi Wanyimwa Ajira
Kitengo cha Uhamiaji kimewaondoa watu waliotuma maombi ya kazi wakati wa zoezi la kukusanya wafanyakazi wapya kwa sababu ya kubadilisha rangi ya miili yao maarufu kama kujichubua na wenye michirizi mwilini nchini Ghana.

Msemaji wa kitengo cha Uhamiaji amesema kuwa wamewaondoa kwa sababu wanaweza kupata majeraha na kutokwa na damu wakati wakiwa kwenye mafunzo.

Baadhi ya raia Waghana wamepinga hatua hiyo na kusema ni ubaguzi, huku baadhi wakikasirishwa zaidi na waliondolewa kwa vigezo cha kuwa na michirizi mwilini.

Baadhi watu wamesifia hatua ya kuwaondoa waliobadili rangi zao za mwili. Walioondolewa wengine ni wenye michoro mwilini (tattoo) na wenye rasta.

Waliotuma maombi ya ajira wanapitia vipimo vya mwili na afya kama sehemu ya zoezi la kuwachuja wenye vigezo. Watu 84,000 walituma maombi ya kazi hiyo, huku wanaohitajika wakiwa ni 500 pekee.
----

Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu

Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:



 

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Tags

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad