AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Msemaji wa kitengo cha Uhamiaji amesema kuwa wamewaondoa kwa sababu wanaweza kupata majeraha na kutokwa na damu wakati wakiwa kwenye mafunzo.
Baadhi ya raia Waghana wamepinga hatua hiyo na kusema ni ubaguzi, huku baadhi wakikasirishwa zaidi na waliondolewa kwa vigezo cha kuwa na michirizi mwilini.
Baadhi watu wamesifia hatua ya kuwaondoa waliobadili rangi zao za mwili. Walioondolewa wengine ni wenye michoro mwilini (tattoo) na wenye rasta.
Waliotuma maombi ya ajira wanapitia vipimo vya mwili na afya kama sehemu ya zoezi la kuwachuja wenye vigezo. Watu 84,000 walituma maombi ya kazi hiyo, huku wanaohitajika wakiwa ni 500 pekee.
Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu
Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK