Wolper Aandika Hivi Baada ya Waziri Kuwaita na Kuwafungia Wasanii Wanaokiuka Maadili

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

Wolper Aandika Hivi Baada ya Waziri Kuwaita na Kuwafungia Wasanii Wanaokiuka Maadili
Baada ya kuona Naibu Waziri wa Habari, Sanaa, Utamaduni na Michezo Juliana Shonza kuwataka wasanii ambao wamekuwa wakikaa nusu utupu katika mitandao ya kijamii na kwenye music videos zao kuwa wanahitajika kuripoti BASATA wakiwemo wasanii Gigy Money, na Sanchi.

Baada ya Pretty Kind kutangazwa kufungiwa miezi sita katika kazi yake ya sanaa  muigizaji Jacquline Wolper kupitia katika ukurasa wake wa instagram alipost picha ya wanawake wamevaa mabaibui na kuandika caption inayosema “Akuna namna dadekiiii mambo ya miezi 6 sitakiii” na baada ya muda mfupi kuifuta caption hiyo
----

Love Story ya NJIA PANDA,Ni Kali mnoo Jamani.

Kusikiliza au kusoma mwendelezo wake Tembelea www.makapedia.com kisha bofya palipoandikwa NJIA PANDA kila siku saa moja kamili jioni BURE au bofya HAPA

Pia Bofya HAPA kujiunga na what's app channel yetu,tukukumbushe kila siku.


-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad