Watu Washtushwa na Muonekano Mpya wa Wowowo la Ruby

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

Watu Washtushwa na Muonekano Mpya wa Wowowo la Ruby
Jana msanii wa Muziki wa Bongo Fleva, Ruby kupitia ukurasa wake wa Instagram aliposti picha ikimuonesha mwenye umbo kubwa tofauti na muonekano wake wa siku zote.

Picha hiyo ambayo ni ya kwanza kwa mwaka 2018 kwa msanii huyo kuonekana, Ruby aliiweka na kuwatakia mashabiki wake Kheri ya Mwaka mpya.

Watu wengi waliotoa maoni kwenye posti hiyo wameonekana kushangaa mabadiliko hayo ya ghafla huku wengine wakidai ametumia dawa za kuongeza makalio wengine wakiamini kuwa ametumia App ku’edit picha hiyo.

utamu_baby Mchina ruby huo yaan unatudangny hvhv wakat ulikua mwembamba kama mwiko Wa pilau😂😂
fasamalsaid Kweli hii mwaka mpya mambo mapya , hongera kwa mchina #wowowo
koiyarachel@laur_de_patrique katoa wapi huu msambwanda jomoni katuzidi hadi sisi. Kweli kati ya kiboko na mamba, mamba ndio kiboko!!! pooohhhh…
mamukimwanyaMara paah 2018 kitako icho
officialsiahshoo1Kwel uchaw upo had 2018 🙊🙊unalala slim unaamka na bonge la wowowo
mdogo_wake_hamisakama ni vigodoro duuuh wew umezidi umeweka kochi zima
Ukweli ni kwamba Ruby hajatumia dawa ya kichina wala kuvaa kigodoro bali picha hiyo imefanyiwa editing  kupitia Application maalumu zinazofanya kazi hiyo ya kuongeza maumbo kwenye picha.


Picha Orijino ya Ruby aliyopiga kabla ya kueditiwa.

Kuna Applications kibao ambazo hutumiwa na wanawake kuedit picha kama ya Ruby ambazo kama hutakuwa mtundu wa mambo ya Picha huwezi kugundua hata siku moja kama picha imefanyiwa Editing.
----

Love Story ya NJIA PANDA,Ni Kali mnoo Jamani.

Kusikiliza au kusoma mwendelezo wake Tembelea www.makapedia.com kisha bofya palipoandikwa NJIA PANDA kila siku saa moja kamili jioni BURE au bofya HAPA

Pia Bofya HAPA kujiunga na what's app channel yetu,tukukumbushe kila siku.


-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Tags

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad