Watumishi 58 Wakufukuzwa Kazi Ruvuma

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

Watumishi 58 Wakufukuzwa Kazi Ruvuma
Halmashauri ya mji wa Mbinga mkoani Ruvuma imewafukuza kazi watumishi wake 58 kwa makosa mbalimbali ikiwemo kughushi vyeti vya kidato cha nne na wengine kwa kuisababishia hasara halmashauri hiyo.


Uamuzi huo umetangazwa na Mwenyekiti wa halmashauri ya mji wa Mbinga Mheshimiwa Egno Kipwere ambapo watumishi waliofukuzwa kazi ni wa kada mbalimbali wakiwemo walimu na Maofisa Watendaji pamoja na Afisa Misitu wa halmashauri hiyo Bw. David Hyera.
----

Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu

Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:



 

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Tags

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad