AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Mwanadada shilole amejikuta akiingizwa mjini na wafanyabiashara wa mtandaoni baada ya kuagiza nguo aliyoipenda na kuletewa nguo tofauti na hiyo iliyoonekana kutoipenda.
Shilole alishindwa kujizuia kuonyesha hisia zake na kuamua kuandika ujembe kwenye ukrasa wake wa istagramu.
Aliandika "Yaani kama ntaagiza nguo mimi mitandaoni tenaaaaaaaa walah labda mimi sio dada Mwajuma" akuishia hapo alipost picha yake aliyovaa nguo hiyo na kuandika "mwanamke mtindi babu weee"
Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu
Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK
HUWA NAJIULIZA MASWALI MENGI BILA KUPATA JIBU' JE UMIAGIZA IMELETWA UMEIVAA UMEJITIZAMA KWENYE KIOO NA KIOO KINGINE UCHEBE ALIKUWEPO; KWANINI UENDELEE KULAZIMISHA KUIVAA HIVYO HIVYO? JE ULIKUWA HUNA NGUO NYINGINE MBADALA WA HIYO, HICHO KITUKO ULICHO;TUONYESHA NI AIBU YAKO WEWE MWENYEWE NA HUYO MUME WAKO ZUZU
ReplyDelete