AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Akichonga na Showbiz- Xtra, Young Killer alisema kamwe hawezi kusahau alivyobaniwa na watu ambao wangeweza kumfanya atoke kimuziki muda mrefu, lakini alionekana anataka kuingia kwenye fani hiyo kwa kuwa ameona Dogo Janja anafanya vizuri kwenye gemu.
“Walidhani naingia kwenye muziki kwa sababu ya kumuiga Dogo Janja, nilibaniwa msaada nikionekana mkurupukaji, nilionekana kama nataka kufanya kwa kuwa nimeona mtoto mwenzangu anafanya, niliumia sana,”alisema Young Killer bila kuwataja watu hao. Killer alisema anashukuru Mungu alikuja kutoka kivingine na mashabiki wakamkubali.
Love Story ya NJIA PANDA,Ni Kali mnoo Jamani.
Kusikiliza au kusoma mwendelezo wake Tembelea www.makapedia.com kisha bofya palipoandikwa NJIA PANDA kila siku saa moja kamili jioni BURE au bofya HAPA
Pia Bofya HAPA kujiunga na what's app channel yetu,tukukumbushe kila siku.
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK