Alichokisema Edo Kumwembe Baada ya Zuma Kujiuzulu na Zari Kumwacha Daimond

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

Alichokisema Edo Kumwembe Baada ya Zuma Kujiuzulu na Zari Kumwacha Daimond
Moja kati ya stori zilizochukua headlines usiku wa jana February 14 2018 ni pamoja na maamuzi ya Zari The Boss Lady kutangaza kuachana na mpenzi wake Diamond Platnumz kwa madai ya skendo za usaliti wa kimapenzi.

Kingine kilichochukua headlines ni maamuzi ya Rais wa Afrika Kusini Jacob Zuma kutangaza kujiuzulu nafasi yake hiyo ya Urais kwa tuhuma mbalimbali ambazo zimetolewa na chama chake.



Mchambuzi wa masuala ya soka Edo Kumwembe ambaye anapenda kuandika vitu vya utani katika account yake ya instagram baada ya matukio hayo akaandika hivi “Rais wangu Zuma kajiuzulu, shemeji yangu Zari kajiuzulu, kocha wangu Wenger HATAKI 😀😀😀😀😀😀”
----

Love Story ya NJIA PANDA,Ni Kali mnoo Jamani.

Kusikiliza au kusoma mwendelezo wake Tembelea www.makapedia.com kisha bofya palipoandikwa NJIA PANDA kila siku saa moja kamili jioni BURE au bofya HAPA

Pia Bofya HAPA kujiunga na what's app channel yetu,tukukumbushe kila siku.


-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad