Alikiba Kufunga Ndoa Ijumaa Hii na Mrembo Toka Kenya

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

Alikiba Kufunga Ndoa Ijumaa Hii na Mrembo Toka Kenya

Orodha ya wasanii wanaotoka katika kundi la ukapera inazidi kupungua kila kukicha – Alikiba anadaiwa kutaka kufuata nyayo hizo.

Msanii huyo ametajwa kutaka kufunga ndoa na mrembo huyo aliyefahamika kwa jina la Amina kutoka mjini Mombasa nchini Kenya, Ijumaa ya wiki hii.

Kwa mujibu wa chazo chetu kimesema kuwa, taarifa hizo ziliaza kusambaa baada ya Abdu Kiba kutumbua jibu wiki iliyopita wakati akifanya mahojiano na gazeti moja la huko Kenya.

Hata hivyo inafahamika kuwa Alikiba amekuwa akienda mara kwa mara Mombasa kutokana na kuwa na ukaribu na Gavana wa mji huko, Joho.
----

Love Story ya NJIA PANDA,Ni Kali mnoo Jamani.

Kusikiliza au kusoma mwendelezo wake Tembelea www.makapedia.com kisha bofya palipoandikwa NJIA PANDA kila siku saa moja kamili jioni BURE au bofya HAPA

Pia Bofya HAPA kujiunga na what's app channel yetu,tukukumbushe kila siku.


-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Tags

Post a Comment

1 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad