AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Katika mazungumzo yake na wasanii hao, Bi Samia alieleza kuvutiwa sana na marudio ya kibao cha SUBALKHERI kilichorudiwa na wakali hao wa Bongo Fleva hivi karibuni na kuwapa wosia wa kuendelea kufanya kazi nzuri zaidi na kujiepusha na makundi mabaya.
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK
mmhh Nandi mdogo wangu unapokuwa unaenda kwa viongozi jaribu kuchagua nguo za kuvaa Aslay yuko smart ila wewe hicho kimini hakikupaswa kabisa hapo,,acheni kuiga mambo ya ulaya jamani duu ,,, sasa hapo kama msanii unaitangaza vipi nchi yako .
ReplyDeleteNandi unaenda kwa muheshimiwa unavaa kiguo hicho? mbona nyie wasanii wakike hamujiheshimu?
ReplyDelete