AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Baada ya story kuwa nyingi mtandaoni kuhusu msanii Billnass kuacha kufanya kazi na Petitman huku zikihusishwa na story ya kuwa wameshindwana na isitoshe wana ugomvi, sasa Billnass amezungumza kuhusu hilo na kusema kuwa hawajagombana bali Petitman kaamua kujitoa mwenyewe.
Msanii Billnass amesema kuwa…
“Ameamua kufanya vitu vyake ni hatua nzuri tu na sisi tunaendelea, amejitoa sijui kama ameona amepoteza hela yake na muda wake kwangu naamini kila mtu anamaamuzi yake hatuwezi kufanya kazi milele, hatuna tatizo lolote”
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK