AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Diamond ana mpango wa kusaka vipaji vya utangazaji kwa ajili ya Wasafi Radio na TV.
“Pleae tell me, From your perspective which City has the best Radio and Tv Presenters…?,” aliandika Diamond Instagram na kuendelea, “Eti nna swali…Hivi ni Mkoa Upi Una Vipaji sana vya Watangazaji?.”.
Baada ya post hiyo watu mbali mbali walipendekeza mikoa tofauti tofauti, miongoni mwao ni DJ Nicotrack mtangazaji wa kipindi cha Dj Show cha Radio One, Dj huyo alipendekeza mikoa ya Mbeya na Arusha.
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK
Nenda arusha,tanga ,mbeya ,iringa na mwanza na mtwara
ReplyDelete